Thursday, February 24, 2011

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge yatembelea Gongo la Mboto


Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge, Edward Lowassa akiagana na Mkuu wa Majeshi ya Ulizi na Usalama, Davis Mwamunyange.


Waziri wa Ulinzi, Dk. Hussein Mwinyi (kulia) akiwa na baadhi ya maofisa wa juu wa Jeshi la Wananchi Tanzania, wapili kulia baada ya waziri ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Davis Mwamunyange.



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, aliyesimama akimkaribisha Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda, alipotembelea kituo cha kupokelea misaada kwa waathirika wa milipuko ya mabomu Gongo la Mboto.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...