Tuesday, November 28, 2017

Shirika la Kivulini lasaidia uanzishaji Kiwanda Shule ya Wasichana Bwiru

Uzinduzi wa kiwanda kidogo katika shule ya wasichana ya kidato cha tano na sita Bwiru iliyopo Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza.

Mgeni rasmi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula akikagua bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa shuleni hapo.

Mgeni rasmi akijionea picha mbalimbali zinazochorwa shuleni hapo.

Mgeni rasmi akijionea utengenezaji wa sabuni pamoja na dawa za chooni.

Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula akizungumza kwenye uzinduzi huo.

Mkuu wa shule ya wasichana Bwiru, Mwalimu Mackrida Shija akizungumza kwenye uzinduzi huo.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela, Renatus Mulunga akizungumza kwenye ufunguzi huo ambapo aliahidi ushirikiano katika kuendeleza kiwanda hicho.

Mwanafunzi wa shule ya wasichana Bwiru, Dorophy James (kushoto), akisoma risala ya ufunguzi. Kulia pia ni mwanafunzi wa shule hiyo Delvina Mollel.

Wanafunzi wa shule hiyo wakimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Kivulini, Yassin Ally kwenye uzinduzi huo.

Viongozi mbalimbali.

Maafisa wa ulinzi.

Wanafuzni wa shule ya wasichana Bwiru wakifurahia jambo kwenye uzinduzi huo.

Wanafunzi wakimkabidhi zawadi mgeni rasmi.

Wanafunzi wa shule ya wasichana Bwiru wakikabidhiwa zawadi na mgeni rasmi baada ya kufanya vyema kwenye masomo yao katika shindano la "Best Students of the Year" lililoasisiwa na shirika la Kivulini.

Wanafunzi wakiwa kwenye picha ya pamoja na mgeni rasmi pamoja na Afisa Elimu Sekondari wilayani Ilemela.

Wanafunzi wa shule ya wasichana Bwiru wakikabidhiwa zawadi na mgeni rasmi baada ya kufanya vyema kwenye masomo yao katika shindano la "Best Students of the Year" lililoasisiwa na shirika la Kivulini.

Wanafunzi wa shule ya wasichana Bwiru wakikabidhiwa zawadi na mgeni rasmi baada ya kufanya vyema kwenye masomo yao katika shindano la "Best Students of the Year" lililoasisiwa na shirika la Kivulini.

Burudani kutoka kwa kikundi cha ngoma asilia, Chapa Kazi kutoka Nyamadoke wilayani Ilemela.

Shirika la Kutetea Haki za Wasichana na Wanawake KIVULINI.

Karibu shule ya Wasichana Bwiru iliyopo Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza ili kujifunza kuhusu uanzishwaji wa Viwanda.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...