Wednesday, November 22, 2017

APHTA yatekeleza mpango wa kuzuia magonjwa yasiyoambukiza shuleni

Meneja Miradi kutoka taasisi ya Word Diabetes, Bent Lautrup-Nielsen (kushoto), akizungumza kwenye ziara ya kujionea utekelezaji wa mpango huo mkoani Shinyanga.


Wanafunzi wa shule ya Msingi Town Mjini Shinyanga, wakiimba Ngonjela wakati wa ziara hiyo.


Viongozi mbalimbali kwenye ziara hiyo.


Wanafunzi wa shule ya Msingi Bugoyi B, Mjini Shinyanga wakiimba wakati wa ziara hiyo.

Meneja Miradi kutoka taasisi ya Word Diabetes, Bent Lautrup-Nielsen, akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Bugoyi B, Mjini Shinyanga.


Meneja Miradi kutoka taasisi ya Word Diabetes, Bent Lautrup-Nielsen (katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Bugoyi B.


Mratibu wa APHTA Kanda ya Ziwa, Dr.Joyce Mwihava akizungumza baada ya kuwasili shule ya msingi Isenga D, iliyopo Ilemela Jijini Mwanza, wakati wa ukaguzi wa mradi wa kuzuia magonjwa yasiyoambukiza mashuleni.


Meneja Miradi kutoka taasisi ya Word Diabetes, Bent Lautrup-Nielsen, akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi Isenga D Jijini Mwanza.


BMG Habari, Pamoja Daima!


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...