Friday, October 30, 2015

Dk John Pombe Magufuli Atangazwa Kushinda Urais Tanzania, JK Ampongeza Ikulu...!

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete (kushoto) akimpa mkono wa pongezi Dk. John Magufuli baada ya kutangazwa kushinda urais Tanzania. 
Rais Jakaya Kikwete akimpa mkono wa pongezi Dk. John Magufuli baada ya kutangazwa kushinda urais Tanzania ikulu Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete akimpa mkono wa pongezi Dk. John Magufuli baada ya kutangazwa kushinda urais Tanzania ikulu Dar es Salaam. Kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Dk Magufuli akipokea pongezi mbalimbali kwa njia ya simu muda mfupi baada ya kutangazwa alipokuwa Ikulu kupongezwa na Rais Kikwete.
Dk. Magufuli na Rais Kikwete katika mazungumzo ya pongezi Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...