Monday, October 5, 2015



Bwana na Bibi Kimlola


Bwana na Bibi Kimlola wakiingia ukumbini yaani ilikuwa ni Furaha kwa kwenda mbele  


Bwana na Bibi Kimlola wakiwasalimia ndugu, jamaa na marafiki waliofika kwenye ukumbi huo wakati wa sherehe yaoiliyofanyika jana Jumapili Oktoba 04, 2015
Bwana na Bibi Kimlola wakiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati ya maandalizi ya Harusi hiyo

Bwana na Bibi Kimlola wakinyweshana Shampeni.


Bwana na Bibi Kimlola wakikata keki
Bwana na Bibi Kimlola wakilishana keki
Bibi harusi Scholastica L. Lazaro akikabidhi keki kwa wazazi wa Bwana harusi
Bwana harusi Kimlola A. Kimlola "Nelly” akikabidhi keki kwa familia ya bibi harusi.
Bwana na Bibi Kimlola wakikabidhi keki kwa wanakamati
Bwana na Bibi Kimlola  wakifungua mziki


Bwana na Bibi Kimlola wakicheza kwaito pamoja na ndugu, jamaa na marafiki waliofika kwenye harusi hiyo




No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...