Saturday, September 15, 2012

Harusi ya Mr Magila na Adelgundes



 Pichani juu ni maharusi Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis wakigonganisha glasi za mvinyo kabla ya kunyweshana katika harusi yaoiliyofanyika jijini Dar es Salaam Julai 27, 2012 kwenye Ukumbi wa Flamingo Mbezi Makonde.

 Maharusi Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis (katikati) wakiwa na glasi za mvinyo pamoja na wasimamizi wao.

 

 Wageni waalikwa katika harusi ya Bw. Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis wakicheza miondoko ya kwaito.


 Bi. Adelgundis (kulia) na mpambe wake wakicheza miondoko ya kwaito pamoja na wageni waalikwa.


Mama mzazi wa Bwana harusi (mwenye suti) akiwa pamoja na marafiki.  

 Mama mzazi wa Bwana harusi (mwenye suti) akiwa pamoja na wanandugu. 


 Flowers wakipokea zawadi za maharusi.

Dada wa Bwana harusi (Kulia) akiwa na mmoja wa marafiki.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...