Saturday, September 15, 2012

Harusi ya Mr Joachim Mushi na Hilder Mwaipopo

Ndoa kati ya :Mr Joachim Mushi na Hilder Mwaipopo
Ilifungwa  Kanisa : Kristu Mfalme Tabata
Rangi ya Harusi: Gold, Off white na Black
Ukumbi: King Palace Makuti hall Sinza
Tarehe: 25/08/2012.


 Kanisa la Kristu Mfalme Tabata ambalo ndilo maharusi hawa walifunga ndoa tarehe 25/08/2012 saa kumi alasili




Bwana harusi Bw. Joachim Mushi (Kulia) na Bi Hilder Kushoto wakiwa katika nadhili ya milele




 Pichani Maharusi wakivishana pete  ikiwa ni ishara ya uaminifu mpaka kifo kitakapo watenganisha.

 Maharusi Bw.Joachim Mushi na Bi. Hilder Mwaipopo wakiwa na nyuso za furaha na wakionesha shahada za ndoa







 Maharusi wakiwa katika Pose mbalimbali baada ya Kufunga ndoa katika kanisa la Kristu Mfalme Tabata Jijini Dar es salam



Maharusi wakiwa na wasimamizi wao  wa kwanza kulia ni Bw. Gide Magila na wa kwanza  kushoto ni Bi Adelgundis Magila.


 Maharusi wakiwa na nyuso za furaha wakiingia  ukumbini King Palace Makuti Hall Sinza


 Maharusi wakiwa na mvinyo na kushiriki na wageni waalikwa usiku wa tarehe 25/08/2012


 Maharusi wakifuatilia matukio katika hafla yakuwapngeza

 Flowers wakifurahia

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...