Sunday, September 23, 2012

Maonesho ya Usiku wa Mitindo (Mitindo Night)

 Maonesho ya Usiku wa Mitindo (Mitindo Night) Mbalamwezi Beach.
Wabunifu wa mavazi katika usiku wa mitindo uliofanyika Mbalamwezi beach walikuwa ni Diana Magese, Mitindonite iliwakilishwa na Ally, Amin, Wancy na Matrida, Bambo collection, Renee, Cocoriko, William Johnson, Veronica Ruhenzi-VS collection, Dorcas, Subira, Salim Ally, na Wavisa Collection.


                        




Ma modo Mbalimbali wakipita katika Jukwaa



  MC katika maonyesho hayo  Ireene Tilya , akiwa anaendelea na kazi





Wadau mbalimbali wakifuatilia kwa kwaribu maonesho hayo

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...