Sunday, September 16, 2012

Harusi ya Mr Pascal na Florence Ernest

Harusi: Mr. Pascal na Florence
Kanisa: Moyo safi wa Bikira Maria Bagamoyo
Rangi: Orange na Chocolate
Sherehe: Ukumbi Kiramuu Mbezi Beach-Dar es Salaam
Tarehe: 14,September,2012.

Maharusi Bw. Pascal na Bi Florence wakiwasili ukumbini wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa katika Kanisa Katoliki la Moyo wa Bikira Maria, Bagamoyo mkoani Pwani na kufuatiwa na tafrija iliyofanyika katika Ukumbi wa Kiramuu,Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam.


 Maharusi Bw. Pascal na Bi Florence wakiwa pamoja na wasimamizi wao tayari kwa kupata mvinyo wa makaribisho.

 Bi harusi Florence akifurahia mvinyo ulioandaliwa kwa ajili yao katika ukumbi wa Kiramuu Septemba 14, 2012.

 Mtaarishaji maalumu wa ndafu akikatakata kwa ajili ya maharusi.

 Wazazi wa Bwana Harusi wakimlisha Bi. Harusi kipande cha ndafu ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika familia yao.

 Mjomba wa Bw. Harusi, Lenny Kisarika (katikati) kulia ni mkewe na kushoto ni dada wa mjomba huyo.


Muandaaji Mkuu wa Blog ya Harusi na Matukio akisalimiana na mjomba wa Bw. Harusi, Mr. Kisarika na mkewe.


 Muandaaji Mkuu wa Blogu ya Harusi na Matukio akifurahia jambo na mjomba wa Bw. Harusi Mr. Kisarika na mkewe.

 Kaka wa Bi. Harusi (katikati) akiwa pamoja na familia yake na wanandugu wakipata kilaji.

Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia matukio kwa makini!

 Muandaaji Mkuu wa Blogu ya Harusi na Matukio akifurahia jambo na Bi. Harusi Florence Ernest.

 Bi. Harusi akiselebuka pamoja na wageni waalikwa.


Wageni waalikwa wakeselebuka kwa mitindo mbalimbali ukumbini hapo.


Flowers wameremetile

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...