Saturday, September 15, 2012

Send off ya Bi Hilder Mwaipopo

Send off ya : Hilder Mwaipopo
Ilifanyika: Ukumbi wa Anglikana Iringa
Rangi ya Send off : Paple na Silva
Tarehe: 18/08/2012

Bi harusi mtarajiwa Hilder.


 Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru.
 
 

 Pichani juu ni Bi harusi  mtajajiwa Hilder (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru baada ya kuwasili ukumbini.




Bi harusi mtarajiwa Hilider wa pili kushoto akijiaandaa kufungua mvinyo.

Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru wakinywa kwa furaha mvinyo ulioandaliwa kwa ajili yao.



 Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na Bwana harusi mtarajiwa Bw. Joachim Mushi baada ya kumtambulisha.

Hatimaye ukawadia wakati wa msosi uliandaliwa kwa mtindo wa kinyakyusa zaidi.



No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...