Monday, September 19, 2011

Siku Deogratius Hugo alipofunga ndoa na Irene


Deo akiwa amembeba my wife wake baada ya pingu za maisha 

Safari ya Kanisani kwenda kula kiapo cha kuungana na uaminifu kwenye maisha ya ndoa takatifu.


Deo akila kiapo huku akimfisha pete ya ndoa mkewe Irine kanisani

Zikafuata picha za kumbukumbu baada ya ndoa kufungwa kanisani, Cheki pozi hili!


Hapa ni Deo na kampani yake ukumbini wakipata picha ya ukumbusho.

Wapambe wakisafisha njia kuingia ukumbini tayari kwa kuanza hafla rasmi ya harusi yao.

Wakikata keki na baadaye kulishana kwa ishara ya upendo

Hapa wakipata maelekezo namna ya kukata ndafu na kulishana kutoka kwa mtaalamu wa ndafu, Siunajua mtu asili yake kwao! Ndafu Bwana!

Hapa wakifungua muziki pamoja na wasimamizi wao, pembeni kulia ni wapambe wakishuhudia rumba. Si mchezo!

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...