Monday, September 5, 2011

Harusi ya Rogathe Kiwia na mkewe Patricia Saayo


Rogathe Kiwia (katikati) akiapa mbele ya mkewe Patricia Saayo kuwatayari kuingia katika maisha ya ndoa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam Jumamosi ya Septemba 3, 2011.

Bi. Patricia Saayo (katikati) akiongozwa na msimamizi wake kula kiapo cha kuingia katika maisha ya ndoa na mumewe katika ibada ya ndoa yao hiyo. 


Rogathe Kiwia na mkewe Patricia Saayo (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wasimamizi wao kanisani. Waweza kutuma picha zaidi za hafla hii! Wasiliana na mdau wa Blog kwa namba za simu hapo juu (Picha zote na mpiga picha wetu)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...