Sunday, October 2, 2011

Harusi ya Joseph na mkewe Maria iliyofanyika Dar es Salaam


Bwana Harusi Joseph (kushoto) akiwa na mkewe Bi. Harusi Maria muda mfupi baada ya kufunga ndoa yao hivi karibuni jijini Dar es Salaam.


Bwana Harusi Joseph (kulia) akimvisha pete mkewe Maria ikiwa ni ishara ya kuungana katika maisha ya ndoa yao milele, wakati wa ibada ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.


Maharusi Jeseph na mkewe Maria (kushoto) wakifungua muziki kwenye hafla yao. Kulia ni wasimamizi wao wakicheza kuwaunga mkono maharusi hao. (Picha kwa Hisani ya Blog ya Harusini)

1 comment:

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...