Sunday, September 18, 2011

Harusi ya Erasto Shirika na Mkewe Sumia


Bwana Harusi Erasto Shirima akiwa na mkewe Sumia wakiwa katika hafla yao iliyofanyika King Palace Hotel, Ukumbi wa Neema Sinza jijini Dar es Salaam Septemba 18, 2011.

Huu ni wakati wa ndafu, Bibi harusi Sumia akiandaa kipande cha nyama kwaajili ya kumlisha mumewe.


Bi Harusi Sumia akimlisha kipande cha ndafu mabinti ambao wamewasimamia katika harusi yao.


Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa ukumbini kwenye harusi ya Erasto Shirima.


Baadhi ya wageni wakiendelea na viburudisho ukumbini.

Wageni waalikwa wakikata mti panda mti ukumbini.


Baadhi ya wageni waalikwa wakiendelea kupata burudani ukumbini.


Waharusi pamoja na wasimamizi wao wakipata chakula maalumu cha usiku ukumbini


Nahii ndio kamati iliyofanya maandalizi ya Harusi ya Bwana Erasto Shirima na mkewe, hapa wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutoa zawadi ya kamati. (Picha zote kwa hisani ya familia)

1 comment:

  1. yaani hii ilikua bonge ya harusi, mwenyekiti wa kamati alikua kijana maridadi aliyesimamia shughuli vizuri kwa kweli

    ReplyDelete

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...