Monday, September 5, 2011

Harusi ya Alex Gordian na mkewe Herieth Clavery


Bibi Harusi Herieth Clavery akila kiapo huku akimvisha pete mumewe, Alex Gordian katika ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki la St. Joseph Septemba 3, 2011 jijini Dar es Salaam.


Bwana Harusi, Alex Gordian akiapa mbele ya padre kumpokea mkewe Herieth Clavery na kuishi naye kama mke na mume milele kanisani. 


Maarusi Alex Gordian na mkewe Herieth Clavery (katikati) wakiwa na wasimamizi wao kanisani wakati wa ibada ya ndoa yao. Je, wataka kuingia picha zaidi wasiliana na mdau wa Blog kwa namba hapo juu (Picha zote na mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...