Tuesday, June 14, 2011

Send Off ya JAQUILINE


Bibi harusi mtarajiwa Jaquiline kushoto na matron wake Herieth wakipozi kwa picha wakati wa sherehe ya Send off ya Jaquiline inayofanyika hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Banora Mlimani City jijini Dar es salaam kama mnavyoona wadau Jaquiline na Herieth wakiwa wamependeza kwelikweli.


Bwana Harusi mtarajiwa Stanford kulia na Bestman wake Kevin wakipozi kwa picha wakatiwa send off ya mke wake mtarajiwa ilinayofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Banora Mlimani City jijini Dar es Salaam.


Madada wa Jaquiline wakimsindikiza bibi harusi mtarajiwa wakati akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kwa sherehe hiyo ya Send off.


Baadhi ya marafiki wa Stanford wakiongozwa na Charles (kushoto) wakiwa katika hafla hiyo. (Picha zote kwa hisani ya Full Shangwe Blog)





No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...