Sunday, June 19, 2011

Angalia maharusi hawa walivyopendeza


Je, ulibahatika kuhudhuria harusi hii au unawajua maharusi hawa, waweza kujishindia zawadi! tutumie majina ya maharusi hawa, kanisa ilipofungwa ndoa hii, tumekurahisishia kwa kukutajia tarehe iliyofungwa ndoa yaani Aprili 30, 2011.


Maharusi hao wakiwa katika picha ya pamoja na kamati iliyoandaa hafla yao, siku ya harusi. (Picha na mpiga picha wa harusi na matukio)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...