Friday, June 3, 2011

Happy birthday Lissa Alphonce

Mtoto Lissa Alphonce (kulia), akiwalisha keki watoto wenzake wanaoishi katika makao ya Watoto Yatima Kurasini, ikiwa ni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika Mai 30, 2011 Dar es Salaam. Anaye msaidia kukata keki ni mama yake. (PICHA NA MDAU DOTTO MWAIBALE)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...