Sunday, June 19, 2011

Harusi ya Zakayo Majura na Jasmine Ngongolo


Bwana harusi Zakayo Majura (kulia) akiwa na mkewe Bi. Jasmine Ngongolo baada ya kufunga ndoa yao Juni 04, 2011 katika Kanisa Katoliki la St. Martha Dar es Salaam. Sherehe ya harusi hiyo ilifanyika Ukumbi wa Budget Resort - Kunduchi Beach. Ujumbe: "From sunrise to sunset, forever a whisper of love. Congratulations on your marriage, Majura!"

Bibi harusi Jasmine Ngongolo akiwa na wapambe wake katika picha ya pamoja. Duh, cheki walivyopendeza!


Baadhi ya wageni waalikwa wakisakata rumba pamoja na maharusi wao. IIikuwa kazi kweli kweli ndani ya Ukumbi wa Budget Resort - Kunduchi Beach.


Zakayo Majura (kushoto) akiwa na Jasmine Ngongolo wakiondoka ukumbini mara baada ya kumalizika kwa hafla yao, nyuma ni wasimamizi wao wakiwasindikiza. (Picha zote kwa hisani ya Blog ya Harusini)


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...