Tuesday, June 14, 2011

Harusi ya Humphrey Milinga na Voronica Mande


Bwana Harusi Humphrey Millinga akiwa katika pozi na mke wake Voronica Mande wakionyesha vyeti vya ndoa baada ya kufunga ndoa yao Desemba 8, 2008 katika Kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay na baadaye kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Lamada jijini Dar es Salaam.


Bwana Harusi Humphrey Millinga akiwa katika pozi na mkewake Voronica Mande baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay na baadaye kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Lamada jijini Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...