Friday, June 3, 2011

Harusi ya Henry Mrutu na Mandarine Lewis


Wakiwa na nyuso za kutafakari maisha mapya ya ndoa ni Henry Mrutu na Mandarine Lewis baada ya kufunga ndoa, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Sinza jijini Dar es Salaam na kufuatiwa na sherehe ya kukata na shoka iliyofanyika Ukumbi wa Serengeti Ball room hoteli Mai 28, 2011 Dar es Salaam. Bwana harusi ni mfanyakazi wa Paradise City Hotel. (PICHA NA MDAU KASSIM MBAROUK)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...