Monday, May 9, 2011

Serikali yafanya semina elekezi Dodoma

Rais Jakaya Kikwete (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Semina Elekezi ambao ni viongozi na watendaji wakuu wa taasisi na idara za Serikali, mjini Dodoma Mai 9, 2011.


Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo (katikati) na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa. baada ya ufunguzi wa Semina Elekezi kwa viongozi na watendaji wakuu wa Serikali.


Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (katikati) pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa wakati wa semina hiyo.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...