Monday, May 9, 2011

Mwanahabari Amiri Mvungi auaga ukapera


Mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo mkoani Arusha,  Amiri Mvungi akiwapungia mkono wageni waalikwa (hawapo pichani) pamoja na mkewe Sophia Atwaa, mara baada ya kufunga pingu za maisha hivi karibuni wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro.


Mr. Mvungi akiwa na mkewe Sophia wakati hafla ya kukata na shoka ikiendelea ukumbini.


Mvungi wakiwa na mkewe katika mapozi kabla ya hafla yao rasmi. Picha zote na mdau Janeth Mushi wa A-town. Blog ya HM inawatakiwa kila lililo heri katika maisha mapya ya ndoa yenu.


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...