Thursday, May 12, 2011

JK awasili Uganda kushuhudia kuapishwa kwa Museveni


Rais Jakaya Kikwete akipokelewa kwa maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe Uganda tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni. Marais wengine waliowasili Kampala jana ni pamoja na Goodluck Jonathan wa Nigeria na, Robert Mugabe wa Zimbabwe na viongozi wengine na wawakilishi wa marais walitarajiwa kuwasili baadaye kuhudhuria sherehe hizo. (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...