Saturday, May 14, 2011

Rais Museveni aapishwa Uganda, JK ashuhudia kiapo





Rais Yoweri Kaguta Museveni akila kiapo cha urais katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Kololo jijini Kampala Uganda jana huku mkewe Mama Janeth Museveni akishuhudiaRais Dk. Jakaya Kikwete akizungumza na Rais mstaafu wa Kenya Mzee Daniel arap Moi wakati wa sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda zilizofanyika katika viwanja vya Kololo jijini Kampala Uganda Mai 11, 2011. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.



No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...