Sunday, May 29, 2016

Wabunge Wapimwa Afya Zao Mjini Dodoma...!

 Mbunge wa Viti Maalum, Bupe Mwakang'ata (CCM) Mkoa wa Rukwa, akipimwa mapigo ya moyo wakati wa programu maalumu ya wabunge kupimwa afya zao. Programu hiyo ilifanywa bure na Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA) katika Zahanati ya Bunge, Dodoma.

 Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Leonidas Gama akipimwa afya na Muuguzi Asha Shao bungeni Dodoma.

 Mbunge wa Viti Maalum, Joyce Sokombi akipimwa afaya na Muuguzi kutoka Hospitali ya Mkoa wa Dodoma Asha Shao. Katikati ni muuguzi mwingine Christina Chamwela.

 Mhudumu wa Afya wa Hospitali ya Dodoma akimpima kimo Mbunge


 Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Costantine Kanyasu akipimwa mapigo ya moyo.


 Mbunge Kanyasu akipimwa kimo

 Mbunge wa Jimbo la Nachingwe, Hassan Masala akipimwa kimo

 Mbunge wa Jimbo la Makambaku, Deo Sanga akipimwa afya

Baadhi ya wabunge wakipata ushauri nasaha

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...