Sunday, May 29, 2016

Harusi ya Bw. Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel Dar es Salaam



Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakionyesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam leo May 28, 2016. Picha na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog -(Kajunason Studio).

Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakionyesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam. Pembeni ni wasimamizi wao.

Waumini waliohudhuria.

Mchungaji wa Kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam akifungisha ndoa ya Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel.

Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakila kiapo.

Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakila kiapo.

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akitoa sadaka.

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akisaini katika cheti kama shaidi wa ndoa hiyo mara baada ya Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel kufunga ndoa.

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akiwapongeza maharusi.

Mchungaji wa kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam akiweka saidi katika cheti.
Maharusi wakipongezana kwa kupeana cheti.

Maharusi wakitoka kanisani.

Picha ya pamoja.

Pongezi.

Salamu za hapa na pale.

Wazazi wakiwapongeza watoto wao.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...