












Meneja Uhusiano wa Benki ya NMB, Vicent Mnyanyika (kulia) akikabidhi cheti cha ushiriki kwa mmoja wa washindani katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wageni maalumu waalikwa katika hafla ya utoaji tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, wakifuatilia matukio ya utoaji tuzo za umahiri wa uandishi wa habari katika vipengele anuai zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wageni maalumu waalikwa katika hafla ya utoaji tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, wakifuatilia matukio ya utoaji tuzo za umahiri wa uandishi wa habari katika vipengele anuai zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa majaji wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, Jesse Kwayu (kushoto) akikabidhi cheti cha ushiriki kwa mmoja wa washindani katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washindi wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015 (kulia) akikabidhiwa tuzo yake katika hafla hiyo iliyofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (Taswa), Egbet Mkoko (kushoto) akikabidhi tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari za Michezo na Utamaduni (Utangazaji/Redio) kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka huu.
Mmoja wa majaji wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, Jumma Dihule (kushoto) akikabidhi cheti cha ushiriki kwa mmoja wa washindani katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Ma MCs katika hafla ya utoaji tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, wakiongoza utaratibu wa matukio ya utoaji tuzo za umahiri wa uandishi wa habari katika vipengele anuai.
Mmoja wa majaji wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, Ndimara Tegambwage (kushoto) akikabidhi tuzo kwa mmoja wa washindi wa tuzo hizo zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa majaji wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015, Nathan Mpangala (kushoto) akikabidhi tuzo kwa mmoja wa washindi wa tuzo hizo zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washindi wa shindano la tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2015 (kulia) akikabidhiwa tuzo yake pamoja na kupongezwa katika hafla hiyo iliyofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.[/caption]










No comments:
Post a Comment