Sunday, October 16, 2011

Harusi ya Lucas Songoma na Raeli Moses


Maharusi Lucas Songoma (kushoto) na mkewe Raeli Moses (kulia) wakishirikiana kuweka saini cheti cha ndoa yao mara baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki la Mt. Yosef Jimbo Kuu la Dar es Salaam Oktoba 15, 2011. 


Paroko wa Parokia ya St. Josef (kushoto) akiwaongoza maharusi Lucas na Raeli kusaini vyeti vya ndoa yao kanisani mara baada ya kufunga ndoa.


Lucus akimvisha pete mkewe Raeli kanisani ikiwa ni ishara ya kuungana katika maisha mapya ya ndoa yao.


Flowers wa maharusi wakiwa katika pozi. "Cheki pozi letu, mnaonaje!"


Mama mkubwa wa Bwana Harusi, Mektilda Lutabana (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja nje ya kanisa na ndugu wa karibu wa maharusi.


Flowers girls wakiwa kwenye pozi la pamoja. "Tumependeza!"


Maharusi Lucus na Raeli katikati wakiwa na wapambe wao, wakati wa hafla yao kambambe iliyofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Polisi (City Centre) Dar es Salaam. (Picha zote kwa hisani ya familia ya maharusi)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...