Friday, November 25, 2011

Harusi ya Bw. Kennedy na Bi. Neema


Bwana harusi Kennedy akiwa na mkewe Neema mara baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Azania Front (KKKT), na hapa wakiwa katika tafrija yao kabambe iliyofanyika katika Ukumbi wa kisasa wa Kualalumpa - Sinza, Novemba 12, 2011 jijini Dar es Salaam.


Hapa Bwana harusi Kennedy na mkewe Neema wakilishana kwa ishara ya upendo


Bwana Kennedy, mkewe Neema na wasimamizi wa ndoa yao wakinywa kwa upendo


Mabinti warembo waliopamba ndoa hiyo wakiwa ukumbini


Hivi ndivyo tulivyopendeza! Akina dada warembo (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na akina kaka watanashati (kulia) waliopamba harusi hiyo. Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...