Saturday, October 8, 2011

Rais Kikwete asherehekea siku ya kuzaliwa, atimiza miaka 61


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimlisha kipande cha keki mumewe Rais Dk. Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya kutimiza miaka 61 ya kuzaliwa kwake iliuyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam juzi jioni. Anayeshuhudia ni mwanawe Ridhwani Kikwete na mkewe pamoja na Aziza, mjukuu wa Rais (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...