Wednesday, October 5, 2011

Harusi ya Victor Balthazar Minja na Edna Yusufu Bakari


Bwana Victor Balthazar Minja na Bi. Edna Yusufu Bakari wote wa Arusha Oktoba Mosi, 2011 walikata shauri na kuamua kuishi maisha mapya ya mume na mke. Bw. Victor ni Msanifu Majengo wa Wakala wa Majengo Tanzania na Bi. Edna ni mfanyakazi mkoani Arusha. Shughuli nzima ilifanyika nyumbani kwa Profesa Balthazar Mashindano Minja, Boko-Ununio Beach. Baada ya ibada takatifu ya misa kanisani.


Kama unavyoona kwenye pichani zoezi la nilishe nikulishe lilianza. Hapa safari ya kuelekea kwa wakwe. "Wazazi tulieni mlishwe keki!"


Na baadaye mambo ya picha za kumbukumbu yakafuata. Hata hivyo kwa mapicha zaidi tafadhali mdau ingia; www.prince minja.blogspot.com Picha zote na Prosper Minja



No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...