Thursday, October 13, 2011

Harusi ya Roman na mkewe Dorotea


Maharusi Roman na mkewe Dorotea wakiangaliana na kupeana tabasamu la kupongezana kwa hatua waliofikia. Inapendeza sana!


Maharusi wakilishana kwa staili ya pekee tunda kwa ishara ya upendo ndani ya ndoa yao. Hafla kabambe ya harusi hiyo iliyofanyika Septemba 24, 2011 jijini Dar es Salaam.


Hapa ndipo mahali maharusi na waheshimiwa hawa walipumzika wakisherehekea hafla yao ndani ya Ukumbi wa Royal Skyline. Blog ya Harusi na Matukio inawapongeza maharusi hawa kwa hatua hiyo.


"Pokeeni zawadi hii kubwa ambayo tumewaandalieni ili muendelee kufurahia maisha ya ndoa yenu milele" ndivyo anavyoonekana kusema mtoa zawadi hiyo pichani. (Picha kwa Hisani ya Blog ya Harusini)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...