Sunday, April 3, 2016

HONGERA PATRICK MWAIPUNGU NA ROSEMARY RWECHUNGURA

SHEREHE YA KUTOA  POSA NA KUVALISHWA PETE YA UCHUMBA
BWANA HARUSI MTARAJIWA NDUGU PATRICK MWAIPUNGU NA BIBI HARUSI MTARAJIWA BI. ROSEMARY RWECHUNGURA NYUMBANI KWAO BI HARUSI MTARAJIWA  KWAMOROMBO JIJINI ARUSHA

Bw. Harusi mtarajiwa Patrick Mwaipungu akifurahi baada ya kumvisha pete mchumba wake Rosemary Rwechungura Kwamorombo Arusha. 


Wajomba wa Bw. harusi mtarajiwa ndg Patrick wakiwasili nyumbani kwa wakwe zao watarajiwa
Kwamorombo Arusha.


Mapokezi 


Ibada ikiendelea


Ndugu upande wa bwana harusi mtarajiwa


Bwana harusi mtarajiwa akiwa na mama yake mdogo wakifuatilia kwa karibu


Mshenga wa bwana harusi na ndugu wa bwana harusi Mwl Swai akizungumza na msemaji wa familia ya bibi harusi mtarajiwa Rosemary


Mshenga Mwl Swai akiweka mambo sawa na bwana harusi mtarajiwa


Baba na Mama wa bi harusi mtarajiwa Rwechungura


Mjomba wa bwana harusi Mtarajiwa ndg Denis akitoa utambulisho wa wageni waliofuatana nao.


Mshenga akikabidhi posa akisindikizwa na mjomba wa bwana harusi mtarajiwa.


Bi harusi mtarajiwa akikaribishwa ukumbini.

Bwana na bibi harusi watarajiwa


Bw. Patrick akikamilisha zoezi la pete

Bw. Patrick akimvisha Pete mchumba wake Rosemary.


Wakipongezana


Hongera sana

Wakipata chakula kilichoandaliwa kwa mapishi ya kabila la Wahaya



Mshenga akishukuru kwa zoezi zima kukamilika


MC Madam Happy akitoa shukrani kwa wageni waalikwa

Msemaji wa familia ya Mzee Rwechungura akitoa shukrani


No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...