Saturday, December 1, 2012

Send Off ya Bi. Dorice Aloyce Tendewa

Send off ya Bi. Dorice Aloyce Tendewa Iliyofanyika katikqa Ukumbi wa New Msasani Beach Na ndoa inatarajiwa kufanyika Desemba 1,2012 KKKT Usharika wa Azania Front DSM Rangi ya Send Off: Orannge na White
 Biharusi mtarajiwa Bi. Dorice Aloyce Tendewa akiwa katika pozi meza kuu wakati wa tafrija maalum ya kumuaga na kumtakia kila la heri katika maisha yake mapya ya ndoa ambayo anataraji kuifunga Jumamosi ya Desemba 1, 2012 katika Kanis la KKKT Usharika wa Azania Front jijini Dar es Salaam. Tafrija hiyo iliyofana sana ilifanyika katika ukumbi wa New Msasani Beach Club. 
 Bi. Dorice Tendewa, Biharusi mtarajiwa (kushoto) akiwa na msimamizi wake na rafiki yake mkubwa, Betha Mwakapenda wakati wa tafrija yao maalum ya kumuaga.
 
 
 Bi.Dorice Tendewa akisaidiana na Msimamizi wake, Bi. Betha Mwakapenda kukata keki. 
  Bi Harusi Mtarajiwa Dorice Tendewa akitambulisha wageni mbalimbali ndugu zake kwa wageni waliofika katika tafrija yake.
Picha ya pamoja ya familia ya Bwana na Bibi Aloyce Tendewa. Picha kwa hisani ya FathervKidevu Blogu

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...