Saturday, December 1, 2012

Harusi ya Richard Mllatie Assey na Bi. Jackline Hamson Ghika


Bwana Harusi Richard Mllatie Assey akimvisha pete mkewe Bibi. Jacline Hamson Ghikas wakati wa ndoa takatifu illiyofungwa leo jijini Dar es Salaam katika kanisa la St. Peters.
Maharusi wakipigana busu bashasha baada ya kuvishana pete.
Bwana Harusi Richard Mllatie Assey akiangusha saini katika gamba la kuhalalisha ndoa takatifu.
Bibi Harusi Jackline Richard Mllatie Assey naye akitia saini.
Maharusi wakionyesha vyeti vya ndoa.
Wapambe wa maharusi wakati wa ibada ya ndoa takatifu,
Wazazi wa Maharusi Mr & Mrs Assey na Mama mzazi wa Bwana harusi wakionyesha furaha baada ya watoto wao kufunga ndoa.
Pichani juu na chini baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki waliofika kushuhudia ndoa takatifu ya Bwana na Bibi Richard Mllatie Assey.
Bwana na Bibi Harusi Richard Mllatie Assey na Jackline Hamson Ghikas wakitoka kaniasani baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la St. Peters Oysterbay jijini Dar.
Wakionyesha nyuso za Furaha baada ya kuhalalisha ndoa yao.
Bwana Harusi Richard Mlatie Assey na mpambe wake wakishine na Suti matata zilizobuniwa na Sheria Ngowi.
Wapambe wa maharusi katika pozi.
Wapambe wakiume ndani ya suti zilizobuniwa na Sheria Ngowi.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...