Wednesday, December 5, 2012

Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary

Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary.
Ilifanyika Kanisa: CCT UDSM Chapel, Oktoba 13, 2012.
Tafrija ya Pongezi ilifanyika: Hellemic Club Dar es Salaam.


 Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary


 Bwana Harusi Amrad  Mlowola akipozi na mkewe Edina muda mfupi baada ya ibada ya ndoa yao

 Bwana Harusi Amrad  Mlowola pamoja na Biharusi Edina Aminiel wakiingia kanisani kufunga ndoa yao

 Katika poziiii..!

 Hapa ni katika pozi na wazazi wa bi. harusi

Maharusi wakipiga picha na mapambo yao

 Ukumbini Hellemic Club

 Wazazi wa Bwana Harusi, Bwana na Bibi Charles Mlowola wakiingia ukumbini

 Wazazi wa bwana harusi

Picha za kumbukumbu na wazazi na ndugu, jamaa na marafiki..!

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...