Thursday, March 17, 2016

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA BANDARI DAR ES SALAAM


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akitoa ufafanuzi wa gati zilizo katika bandari hiyo  kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakaya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akitoa ufafanuzi kuhusu namna Kamera zinazoendelea kufungwa katika Bandari hiyo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, waliotembelea Mamlaka hiyo .


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akiwaonyesha Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu eneo itakapo jengwa gati ya 13 na 14.


Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Kupakia na Kupakua Mizigo Bandarini (TICTS), Paul Wallace akiwaeleza Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu namna kampuni hiyo inavyohudumia makontena katika bandari ya Dar es Salaam.




Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sehemu ya Uchukuzi, Dk. Leornard Chamuriho akitoa taarifa ya namna Wizara inavyosimamia Mamlaka zilizo chini yake, wakati Kamati ya Bunge ya MIundombinu, ilipo tembelea Mamlaka ya Bandari (TPA).

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...