Thursday, February 11, 2016

LUHAGA MPINA ATEMBELEA UJENZI WA MTARO UWANJA WA MNAZI MMOJA

Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe.Luhaga Mpina akizungumza wakati alipofika katika mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji katika Viwanja vya Mnazi Mmoja akiwa katika ziara yake kisiwani Zanzibar. na kumalizia Kisiwani Pemba kutembelea Miradi ya Mazingira kisiwani humo.  Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe.Luhaga Mpina akizungumza wakati alipofika katika mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji katika Viwanja vya Mnazi Mmoja akiwa katika ziara yake kisiwani Zanzibar. na kumalizia Kisiwani Pemba kutembelea Miradi ya Mazingira kisiwani humo. [/caption]
Makalbi ya mtaro wa kupitishia maji kutoka katika viwanja vya mpira mnazi mmoja yakitandikwa, na kulia ni mabomba ya mtaro huo ya zamani yaliokuwa yakitoa huduma hiyo ya kupitisha maji kutoka katika uwanja huo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe.Luhaga Mpina akiangalia ujenzi huo wakati wa ziara yake kutembelea miradi huo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Luhaga Mpina akiangalia ujenzi huo wakati wa ziara yake kutembelea miradi huo. 
 
Mhandisi wa Baraza la Manispa Zanzibar Mzee Khamis Juma akizungumza wakati wa ziara ya Mhe Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina wakati alipofika kutembelea mradi wa ujunzi huo katika uwanja wa mnazi mmoja Zanzibar, kuondosha tatizo wa maji katika uwanja huo unaokuwa kero kutumika kwa kiwanja hicho kipindi cha mvua na kuingia maji ya bahari.
Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa maji katika uwanja wa mpira wa mnazi mmoja unaoendelea na ujenzi wa mtaro 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake kutembelea Jimbo la Jangombe kujionea athari za mazingira inazozikabili Jimbo hilo kwa kutokea kwa kuzama kwa nyumba katika mwaka 1998 na baadhi ya nyumba nyengine kupata athar
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akisalimiana na Wazee wa Jimbo la Jang'ombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo akiwa Zanzibar. 
Eneo lilikozama Nyumba katika mtaa wa Jang'ombe Mshelishelini mwaka 1998 ambapo amefika Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira  Luhaga Mpina wakati wa ziara yake Zanzibar kutembelea Miradi ya Mazingira na ya Muungano ilioko Zanzibar.,
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Luhaga Mpina akiwa katika eneo iklikoza nyumba hiyo Jang'ombe wakati wa ziara yake Zanzibar.
Mwananchi wa Jang'ombe Nyumba yao ilididimika katika eneo hilo wakati wa Mvua za masika katika mwaka 1998 Ndg Salum Ibrahim Mgaza akitowa ushuhuda wa kuzama kwa nyumba yao kwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira wakati wa ziara yake katika jimbo hilo na kufika katika eneo hilo ilikozama nyumba hiyo katika mwaka 1998 na kubaki kiwanja hadi sasa. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira  Luhaga Mpina akimsikiliza Sheha wa Jang'ombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo kuangaria athari za Mazingira zinazolikabili Jimbo hilo akiwa katika eneo lililotokea shimo wakati wa mvua za mashika na kuleta athari katika eneo hilo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akimsikiliza Sheha wa Jangombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo kuangaria athari za Mazingira zinazolikabili Jimbo hilo akiwa katika eneo lililotokea shimo wakati wa mvua za mashika na kuleta athari katika eneo hilo.
Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Ndg Juma Bakari Alawi akitowa maelezo kuhusiana na hali ya Mazingira katika eneo la Jangombe ambolo linakumbwa na ujaaji wa maji ya mvua na kujitokeza kudidimia kwa ardhi ya eneo hilo, wakati wa Ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina, katika Jimbo la Jangombe kuangalia Miradi ya Maendeleo inayosimamiwa na Muungano Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...