Wednesday, February 1, 2012

Harusi ya Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu



Wakiwa na nyuso za furaha pichani ni Bwana harusi Samwel Daniel na mkewe Kaindi Taratibu wakiwa kwenye pozi la picha baada ya kufunga ndoa yao katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuatiwa na sherehe kabambe iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Luxury jijini Dar es Salaam.


“Hawa si wawili tena bali ni mwili mmoja,”; Bwana harusi Samwel akiwa na mkewa Kaindi wakishuka kutoka katika Mlima Kilimanjaro uliopo eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam, walipokwenda kutalii wa baada ya kufunga ndoa yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Januari 28, 2012.

Makaka wa maharusi wakiwa katika picha ya pamoja wakisherehekea harusi ya mdogo wao. Picha kwa hisani ya wanafamilia.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...