Saturday, January 14, 2012

Harusi ya Amani Adam na Felister Kiungulia


Bi. Felister Kiungulia (kulia) akiwa na mumewe Amani Adam kwenye hafla ya utambulisho wa mumewe katika ukoo na familia ya Mzee Kiungulila Lushoto mkoani Tanga. Ndoa ya maharusi hawa ilifanyika mwishoni mwa mwaka jana mkoani Arusha.


Bi. Felister Kiungulia akiwa na mumewe Amani Adam

Bi. Felister

Bw. Adam


Kutoka kushoto ni Mzee Kiungilia akiwa na mkewe kwenye hafla ya kutambulishwa mkwe wao Amani Adam iliyofanyika nyumbani kwa Kiungulia Soni Lushoto Desemba 31, 2011.


Ndugu jamaa, majirani na marafiki wa Mzee Kiungulia wakitambulishwa kwa mumewe Felister katika hafla hiyo, wa pili kulia ni kaka mkubwa wa Felister Henry Kiungulia, wa kwanza kulia kwake ni mkewe Grace Mushi Kiungulia.  Picha kwa hisani ya wanafamilia.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...