Tuesday, February 21, 2012

Harusi ya Fredy na Ephracia jijini Dar es Salaam

Januari 21, 2012 itabaki kuwa siku kubwa ya kumbukumbu kwa maharusi Fredy pamoja na mkewe Ephracia baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Mwenge jijini Dar es Salaam, na kufuatia na tafrija kubwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Garden Hotel - Dar es salaam.

Maharusi Fredy (kulia) pamoja na mkewe Ephracia (kushoto) wakipozi na watoto wazuri waliosimamia harusi yao.


Mvinyo rasmi wa sherehe hiyo tulifungua wenyewe!


Fredy pamoja na mkewe Ephracia


Kwa ishara ya upendo tuliwatembelea na kuwapa zawadi watoto yatima kusherehekea pamoja (Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog)

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...