Friday, November 25, 2011

Harusi ya Ronald na Nancy


Maharusi Bw. Ronald na Bi. Nancy wakiwa katika pozi!


Bi. harusi Nancy akimfisha pete mumewe Bw. Ronald mbele ya Padre ndani ya Kanisa Katoliki la Segerea jijini Dar es Salaam. Sherehe ya kukata na shoka ya harusi yao ilifanyika katika Ukumbi wa New World Cinema Jumamosi ya Oktoba 29, 2011.


Bw. Ronald na Bi. Nancy (katikati walioshikana) wakiwa na wasimamizi wao siku ya harusi yao.


Na hii ndiyo keki iliyotumika siku ya harusi yao.


Picha za kumbukumbu na watu muhimu!


Hii ndiyo kamati iliyofanikisha hafla nzima. "Asanteni na Mungu awabariki!"


Kwaherini jamani tunaenda kupumzika! Hivi ndivyo wanavyoonekana wakisema Bw. Ronald na Bi. Nancy walipokuwa wakitoka ukumbini mara baada ya hafla yao. Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...