Friday, December 11, 2015

Askari 482 Jeshi la Zimamoto Wahitimu Mafunzo ya Awali

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akikagua gwaride la askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Jumla ya askari 482 wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wamehitimu mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kimbiji. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akipokea heshima toka kwa askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (hawapo pichani).
Meza Kuu ya viongozi kutoka vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama ikipokea heshima toka kwa wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Baadhi ya Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika gwaride la kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Baadhi ya ndugu na jamaa wa Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Baadhi ya Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika gwaride la kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili (katikati) akikabidhi cheti kwa baadhi ya askari waliofanya vizuri kwenye mafunzo hayo ya askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili (katikati) akikabidhi cheti kwa baadhi ya askari waliofanya vizuri kwenye mafunzo hayo ya askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.



Baadhi ya ndugu na jamaa wa Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakicheza sarakasi kuonesha wanavyomudu fani mbalimbali.
Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakicheza kareti kuonesha kumudu mafunzo ya kujilinda wawapo kazini.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.

Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyofanya kazi zao kwa vitendo.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Pius Nyambacha akizungumza katika hafla ya Askari wa Kikosi hicho kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi hilo iliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa Kimbiji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akizungumza katika hafla ya Askari wa Kikosi hicho kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi hilo iliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa Kimbiji.

Picha ya pamoja ya mgeni rasmi na wahitimu pamoja na viongozi wa menza kuu katika hafla hiyo.
Picha ya pamoja ya mgeni rasmi na wahitimu pamoja na viongozi wa menza kuu katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...