Thursday, July 5, 2012

Siku Angaza Mwipopo alipoungana maisha na Chivanenda

 Hapa Jaji Mkwawa Akimkabidhi mkuki Bwana Harusi Angaza Mwipopo ikiwa ishara ya kujilinda pamoja na mkewe Chivanenda Luwongo


 Bwana Harusi Angaza Mwipopo na Mkewe Chivanenda Luwongo wakiwa na wasimamizi wao siku ya harusi yao.


Katibu mkuu kiongozi mstaafu Phillemon Luhanjo akiteta jambo na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora katika serikali ya awamu ya tatu, Wilson Masilingi pamoja na waheshimiwa majaji

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...