Monday, August 22, 2011

Harusi ya Inno Mac na mkewe Macrina Caesar

Maharusi Inno Mac na mkewe Macrina Caesar wakiwa katika mapozi siku ya harusi yao.

 Kutoka kulia ni Inno Mac na mkewe Macrina Caesar mbele yake wakiwa na wapambe wao (kulia) siku ya harusi yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam (Picha kwa hisani ya familia ya Mzee Mac)







No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...