Wednesday, June 6, 2018

Profesa Mbarawa akagua maendeleo ujenzi wa Tazara Fly Over

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kulia) wakikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya juu (Tazara Fly Over) leo jijini Dar es Salaam. Ujenzi huo kwa sasa umekamilika kwa asilimia 88.

Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kulia) mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya juu (Tazara Fly Over) leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kulia) na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida (kushoto) wakijadiliana jambo mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya juu (Tazara Fly Over) leo jijini Dar es Salaam. 

Muonekano wa juu wa Barabara ya Nyerere eneo la Tazara (Tazara Fly Over) ambao kwa sasa ujenzi wake umekamilika kwas asilimia 88.


Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroards) Mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Julius Ndyamukama akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida walipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya juu (Tazara Fly Over) leo jijini Dar es Salaam. 

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...