Saturday, August 19, 2017

NMB yazungumza na wajasiriamali Arusha Dodoma na Kilimanjaro

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christian Mndeme akizungumza alipokuwa akifungua warsha ya siku mojo ya Klabu ya wafanyabiashara wavBenki ya NMB Mkoa wa Dodoma iliyowajengea uwezo wa kibiashara wafanyabiashara.


Ofisa Mkuu Kitengo cha Mikopo Benki ya NMB, Tom Borghols akizungumza na wafanyabishara wa jiji la Arusha namna ya benki hiyo ilivyosongeza huduma kwao katika mkutano na wajasiriamali toka Klabu ya Biashara ya NMB jijini humo.

Wajasiriamali wa jijini Arusha wakimsikiliza Ofisa Mkuu Kitengo cha Mikopo Benki ya NMB, Tom Borghol wakati akizungumza nao namna ya benki hiyo ilivyosongeza huduma kwao katika mkutano uliofanya. 


Wajasiriamali wa jijini Arusha wakimsikiliza Ofisa Mkuu Kitengo cha Mikopo Benki ya NMB, Tom Borghol wakati akizungumza nao namna ya benki hiyo ilivyosongeza huduma kwao katika mkutano uliofanya. 


Wajasiriamali wa jijini Arusha wakimsikiliza Ofisa Mkuu Kitengo cha Mikopo Benki ya NMB, Tom Borghol wakati akizungumza nao namna ya benki hiyo ilivyosongeza huduma kwao katika mkutano uliofanya. 


Warsha ikiendelea.


Mgeni Rasimi kwenye Washa ya Klabu ya wafanyabiashara wadogowadogo na mawakala wa Benki ya NMB Mkoa wa Kilimanjaro, Sebastian Masanja Katibu tawala msaidizi toka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, akizungumza na washiriki wa warsha hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Kuringe Mjini Moshi.



Mkurugenzi Mkuu wa Mikopo wa Benki ya NMB Tanzania Tom Borghols, akizungumza na washiriki wa Warsha ya Klabu ya wafanyabiashara wadowadogo na mawakala wa NMB Mkoa wa Kilimanjaro, warsha hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Kuringe Holl Mjini Moshi.


Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati, Straton Chilongola akitoa taarifa ya lengo la Benki ya NMB kuwakutanisha wafanyabiashara Mkoa wa Dodoma kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua warsha hiyo.

Baadhi ya wafanyabishara wa jiji la Arusha wakiwa katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...