Tuesday, May 2, 2017

Miss Beatrice Enock wa EAGT Mwanza Alivyovishwa Pete ya Uchumba

Mtoto wa kiroho aliyezaliwa katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, Mr.Peter Mlekwa, jana jumapili April 30,2017 amevisha pete ya uchumba, mchumba wake Miss Beatrice Enock pia wa kanisa hilo.

Zoezi hilo lilifanyika kanisani hapo chini ya Mchungaji Kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola, ambapo wawili hao wapendanao walitambulishana mbele ya madhabahu katika kuianza safari yao ya ndoa inayotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Mr.Peter Mlekwa akimvalisha mchumba wake zawadi ya saa
Wachumba, Miss Beatrice Enock na Mr.Peter Mlekwa
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola akiwaombea wawili hao kuwa wachumba
Mchungaji Kulola (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wachumba hao
Miss Beatrice Enock (kulia) akiwa na best lady wake, Happy Emmanuel
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Waumini wa kanisa la EAGT Lumala Mpya katika picha ya pamoja na wachumba hao
Tunawatakia kila la Kheri katika Uchumba wao na katika kutimiza ndo yao ya kuifikia ndoa takatifu, Miss Beatrice Enock na Mr.Peter Mlekwa.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...