Tuesday, May 15, 2012

Harusi ya Christopher na Jannifer


 Christopher na Jennifer wakiwa katika pozi la picha mara baada ya kufunga pingu za maisha.


 Bwana Harusi Christopher (kulia) akimvisha pete mkewe Jannifer katika ibada ya ndoa yao iliyofanyika Jumamosi ya Februari 18 kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam.


 Wapambe wa maharusi wakiwa katika picha pambo ya maharusi mara baada ya ibada ya ndoa yao.


 Christopher na Jennifer katikati wakiwa na mama mzazi wa Jannifer (kulia) pamoja na mjomba Sumi kushoto.


Bwana Harusi Christopher akiwa na mkewe Jannifer. Picha zote kwa Hisani ya Fullshangwe Blogu.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...